Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, leo Juni 4, 2018 amewaapisha aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Eliezer Feleshi kuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu na Majaji wa mahakama ya Rufani akiwemo Ferdinand Wambali. Tukio hilo limefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Comments are closed.