Wabunge Walioteuliwa Jana Waaapishwa Bungeni – Video
Wabunge wateule watatu walioteuliwa jana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia ambao ni Dkt. Bashiru Ally, Balozi Liberata Mulamula na Mbarouk Nassor Mbarouk, leo Aprili 1, 2021 wameapa kuwa wabunge wa Bunge la Tanzania.…
