JPM Azungumza Na Wananchi Wa Kisongo Na Makuyuni Arusha – Video
MGOMBEA Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Kisongo na Makuyuni mkoani Arusha akiwa njiani kuelekea Karatu kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za CCM leo Jumamosi Oktoba 24, 2020.
Picha mbalimbali zikionesha wananchi waliojitokeza kumlaki Rais Dk. John Pombe Magufuli katika maeneo ya Kisongo na Makuyuni wakati akiwa njiani kuelekea Karatu.