Rais John Magufuli amemuapisha Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad aliyemaliza muda wake leo Novemba 4, 2019. CAG Kichere alikuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe na kabla ya hapo alikuwa Kamishna Mkuu wa TRA.
Magufuli amewaapisha pia viongozi mbalimbali kama Katibu tawala mkoa wa Njombe, Balozi wa Tanzania Nchini Kuwait, Kamishna wa kazi katika ofisi ya waziri mkuu na majaji 12 wa mahakama kuu.
Akizungumza mara baada ya kuwaapisha viongozi hao Rais Magufuli amesema;
Comments are closed.