The House of Favourite Newspapers

Kagere Aongeza Miaka Miwili Simba SC

Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Meddie Kagere ataendelea kuwa na Simba Sc baada ya kuongeza mkataba wa miaka miwili kuwatumikia mabingwa hao wa TPL.

Comments are closed.