Kaimu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma wa CUF, Hamad Masoud amekamatwa na Polisi Visiwani Zanzibar leo asubuhi. Chanzo cha kukamatwa kwake bado hakijafahamika, endelea kufuatilia habari zetu kwa taarifa zaidi.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.