KALANGA: Serikali Inatafuta Ugomvi, Inatufilisi Tumewakosea Nini – VIDEO
Share
MSIKIE Mbunge wa jimbo la Monduli kwa kupitia tiketi ya Chadema, Julias Kalanga, akichangia hoja katika bajeti ya wizara ya Mifugo na Uvuvi, iliyowasilishwa Bungeni na Waziri mwenye dhamana, Luhaga Mpina na Naibu wake Abdallah Ulega.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.