Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameamua kujibu kile kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii katika siku za karibuni.
Nasikitishwa sana na matumizi mabaya ya picha zangu mtandaoni hususan watu kunilisha maneno kwa kutaka kutimiza malengo yao ya kisiasa.
— Jakaya Kikwete (@jmkikwete) October 27, 2016
Nimestaafu naomba niachwe nipumzike. Nisingependwa kuhusishwa na siasa za mtandaoni dhidi ya Serikali. Namuunga mkono Rais na Serikali yake.
— Jakaya Kikwete (@jmkikwete) October 27, 2016
Comments are closed.