KAYUMBA – “Nina Uhusiano na UWOYA / Napenda MAPENZI” – VIDEO
HIT MAKER wa ngoma ya Mazoea, Maumivu, Tuongee na nyingine Nyingi, Kayumba Juma, ambaye jina lake lilinga’ra kwa mara ya kwanza kupitia shindano la BSS, Amepiga stori na Global TV na kufungukia uhusiano wake na Muigizaji, Irene Uwoya.
Kayumba amesema ni kweli ana uhusiano na Uwoya lakini sio wa kimapenzi hivyo tetesi hizo si za kweli.
Comments are closed.