Kikosi cha Yanga leo Novemba 28, 2021 kimefika salama mkoani Mbeya tayari kwa maandalizi ya mchezo wao wa Ligi Kuu NBC dhidi ya Mbeya Kwanza, Jumanne kwenye Uwanja wa Sokoine.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.