Kimekuka! Mbunge Kuwaita Wenzake ‘Mbwa’, Spika Aingilia Kati – Video
Share
BUNGENI, DODOMA: Spika Job Ndugai leo Juni 05, amelazimika kumpokonya Najma Giga kijiti cha kuongoza kikao cha Bunge baada ya mzozo ulisababishwa na Mbunge wa Jang’ombe, Ali Omar (CCM) aliyewafananisha wapinzani na ‘mbwa’.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.