The House of Favourite Newspapers

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BUNGENI DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kijitoupele Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2018. 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Elimu Profesa Joice Ndalichako, Bungeni jijini Dodoma, Juni 5, 2018.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika, Stephen Masele ambaye ni Mbunge wa Shinyanga Mjini, ofisini kwake Bungeni mjini Dodoma, Juni 5, 2018.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika, Stephen Masele, ofisini kwake Bungeni mjini Dodoma, kutoka kushoto ni Mbunge wa Mbozi Magharibi Mheshimiwa David Silinde na Mbunge wa Viti Maalum  Zanzibar Asha Abdullah Juma,  Juni 5, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Comments are closed.