Klabu ya Simba Yatoa Taarifa kwa Umma Kuhusu Kuchukua Hatua kwa Kocha wa Orlando
KLABU ya Soka ya Simba imetoa taarifa kwa Umma juu ya hatua iliyochukua kutokana na kauli zilizotolewa na Kocha wa Orlando Pirates Mandla Ncikazi.
Simba wameelezea sababu za msingi kuwa ni kulinda uhusiano wa muda mrefu uliopo kati ya Tanzania na Afrika Kusini