The House of Favourite Newspapers

Koletha achoshwa na upweke!

0

colethaBRIGHTON MASALU

KOLETHA Raymond, ambaye ni muigizaji wa muda mrefu, amesema kwa sasa amechoshwa na upweke huku akiweka wazi kuwa yuko tayari kuingia kwenye uhusiano endapo atapata mwanaume mwenye sifa stahiki.

‘Akidondosha silabi’ na Amani, Koletha alisema kwa muda mrefu sasa amekuwa peke yake huku pombe ikigeuka faraja pekee ya moyo wake, kutoka na kukosa mapenzi ya dhati kwa wanaume.

“Nimeishi peke yangu kwa muda mrefu sana japo kipindi cha nyuma wanaume waliniliza mno, lakini kwa sasa nimechoshwa na upweke huu, nikipata mwanaume mwenye sifa ninazohitaji niko tayari kuingia tena kwenye uhusiano,” alisema Koletha.

Leave A Reply