ALIYEKUWA Mwanamuziki wa Bendi ya Mapacha Watatu aliyefariki kwa ajali ya gari Jumamosi iliyopita, amezikwa Jumatano, Januari 31, 2019 na umati wa waombolezaji kwenye makaburi ya Kinondoni Lang’ata jijini Dar.
Miongoni mwa waombolezaji hao walikuwepo wanamuziki, wasanii wa filamu na kada nyinginezo.
PICHA NA RICHARD BUKOS | GPL
Comments are closed.