The House of Favourite Newspapers

Ligi Ya Mabingwa Ulaya Kuendelea Leo, Ratiba Ipo Hapa

0

Michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inatarajiwa kuendelea leo Jumanne na kesho Jumatano ikiwa ni hatua ya makundi ambapo kutakuwa na michezo mbalimbali.

Mabingwa watetezi, Real Madrid wanatarajiwa kuwa ugenini kukipiga dhidi ya APOEL ya nchini Cyprus huku Madrid wakimkosa nahodha wao Sergio Ramos ambaye ni majeruhi.

Wapinzani hao wa Madrid hawajashinda mchezo hata mmoja katik Kundi H, hivyo mchezo huo unatarajiwa kuwa mwepesi kwa Madrid ambao wanahitaji ushindi baada ya kutokuwa na matokeo mazuri katika mechi za hivi karibuni.

Mechi za leo Jumanne katika Uefa Champions League

Beşiktaş v Porto

Spartak Moskva v Maribor

Borussia Dortmund v Tottenham Hotspur

Napoli v Shakhtar Donetsk

Sevilla v Liverpool

APOEL v Real Madrid

Manchester City v Feyenoord

Monaco v RB Leipzig

Mechi za kesho Jumatano katika Uefa Champions League

CSKA MoskvavBenfica

QarabağvChelsea

JuventusvBarcelona

Basel v Manchester United

Anderlecht v Bayern München

Sporting CP v Olympiakos Piraeus

Atlético Madrid v Roma

PSG v Celtic

Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja na Namba Moja Tanzania ya Global Publishers

Android ===>Google Play

iOS ===>Apple Store

Leave A Reply