Makonda Amtakia Matibabu Mema Ahmed Albaity Huko China (Video+Picha)
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo amemtakia matibabu mema mwananchi Ahmed Albaity anayekwenda China kutibiwa tatizo la uti wa mgongo ambalo amekuwa nalo kwa takribani miaka kumi akiwa kitandani. Makonda ameyasema hayo wakati akimsindikiza uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
(STORI NA DENIS MTIMA/GPL)
Comments are closed.