Millard Ayo Afunguka kwa Uchungu Zuchy “Alikuwa Na Njaa ya Mafanikio” – Video
Aliyekuwa bosi wa Zuchy Millard Ayo amefanya mahojiano na Global Tv na kueleza kuwa kijana Zuchy alikuwa na njaa ya mafanikio ndiyo maana alijitoa kwa nguvu zake zote katika kazi.
Millard ameendelea kuiambia Global Tv kuwa vijana hawapaswi kushiba hata kama chakula kimejaa sahani kwani mafanikio huja katikati yasafari au mwishoni na siyo mwanzo.