Ibada Ya Mazishi Ya Aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Edward Lowassa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ashiriki Ibada ya Mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Hayati Edward Lowassa nyumbani kwake Ngalashi, Monduli Mkoani Arusha leo tarehe 17 Februari, 2024.