The House of Favourite Newspapers

Live: Kumbukumbu ya Siku ya Mashujaa Karume Day

0

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Suluhu Samia ameungana na viongozi wengine pamoja na wananchi mbalimbali katika maadhimisho ya Siku ya Mashujaa (#KarumeDay) kwenye Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kisiwandui Zanzibar.

Leave A Reply