The House of Favourite Newspapers

Real Madrid Yaichapa Bayern Munich Mabao 2-1 (Picha + Video)

Nusu fainali ya pili ya klabu bingwa barani Ulaya imeendelea tena usiku wa jana kwenye uwanja wa Allianz Arena.

Katika mchezo huo wenyeji Bayern Munich wamekubali kuendelea kupokea kichapo kutoka kwa Real Madrid baada ya kufungwa ka mabao 2-1.

Magoli ya Madrid yalifungwa na Marcelo dakika ya 44 na Marco Asensio (57), wakati bao la kufutia machozi la Bayern lilifungwa na Joshua Kimmich dakika ya 28.

Bayern Munich (4-1-4-1): Ulreich; Kimmich, Boateng (Sule 34), Hummels, Rafinha; Martinez (Tolisso 75); Robben (Thiago 8), Muller, James, Ribery; Lewandowski

Unused subs: Starke, Bernat, Rudy, Wagner

Goal: Kimmich 28

Bookings: Ribery 52, Thiago 89

Real Madrid (4-3-3): Navas; Carvajal (Benzema 67), Varane, Sergio Ramos, Marcelo; Modric, Casemiro (Kovacic 83), Kroos; Lucas, Ronaldo, Isco (Asensio 46)

Unused subs: Casilla, Theo, Vallejo, Bale

Goals: Marcelo 44, Asensio 56

Booking: Casemiro 78

Comments are closed.