LIVE: MAMBO NI MOTO BUNGENI, WABUNGE WANAIBANA SERIKALI KWA MASWALI MAZITO -VIDEO
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linaendelea na vikao vyake leo Juni 6, 2022. Wabunge wanaibana serikali maswali mazito kuhusu masuala mbalimbali ya majimboni kwao.