Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hawatasusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 na kuwataka viongozi, wanachama na Watanzania kuhamasishana kujiandikisha.
“Tunatoa rai kwa Watanzania, tusisusie uchaguzi huu wenzetu wa upande wa pili wanatamani tususie. Kwa hizi siku 3 zilizoongezwa, viongozi wetu wa ngazi zote wahamishane watoke kwa maelfu wakajiandikishe, tukisusa tutakuwa tumesusia maisha yetu kwa miaka mitano.
Comments are closed.