The House of Favourite Newspapers

FT: SIMBA 3-3 STAND UNITED, KUTOKA UWANJA WA TAIFA

Dakika  ya 94, Mchezaji wa Stand ameumia, mpira umesimama

Dakika ya 90, Zimeongezwa dakika 4 pekee mpira umalizike

Dakika ya 87, Mpira unatoka nje, Stand wanarusha

83′ Kotei anapasiana na Mwinyi sasa

74′ Simba wanafanya mabadiliko, anaingia Kazimoto, anatoka Mzamiru Yassin

66′  Gooooo, Stand wanasawazisha, ni 3-3 sasa

64′  Stand wanashambulia kwa kasi wanapata faulo inapigwa kuelekea Simba eneo la 18

61′  Goooooo, Gyan anaifungia Simba bao la 3, sasa ni 3-2

53′  Free Kiki inapigwa kuelekea eneo la Stand baada ya Gyan kufanyiwa faulo, mpira unapigwa lakini unatoka nje

47′ Simba wanaanza kwa Manula kupiga shuti lakini mpira unatoka nje

Kipindi cha pili kimeshaanza

MAPUMZIKO

Dak ya 45, Dakika mbili zimeongezwa, matokeo ni 2-2

42′ Simba wanapata kona.

Stand wanapata bao la pili, Lulambo anaipatia bao la pili kwa kupiga kona iliyoingia wavuni moja kwa moja.

41′ GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO000

Stand wanaendeleza kasi ya kupambana.

Stand wanapata bao la kwanza, walipiga pasi kadhaa, ikapigwa krosi ikatua kichwani mwa Tariq Seif akamalizia.

36′ GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

 

34′ Simba wanaonekana kujipanga taratibu.

32′ Kasi ya mchezo imeongezeka, Stamd hawajakata tamaa.

30′ Stand wanafika langoni mwa Simba, wanapiga shuti linatoka nje.

29′ Mchezo unaendelea.

28′ Kwasi yupo chini mchezo umesimama kwa muda.

Nyoni anapiga inaokolewa.

27’ Simba wanapata faulo nje ya lango la Stand.

GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

22′ Mavugo anautoa mpira, ili kuwa fair play.

Simba wanapiga pasi kadhaa, Kapombe anapiga krosi inayomkuta Laudit Mavugo anafunga kwa urahisi.

18’ Vitalis Mayanga wa Stand anapewa kadi ya njano kwa kumchezea faulo Asante Kwasi.

Dak ya 18, Vitalis Mayanga  wa Stand anapewa kadi ya njano kwa kumfanyia faulo Asante Kwasi

Dak ya 14, Faulo tena inapigwa kueleka lango la Stand, anapiga Erasto

Dak ya 13, Faulo ya Kichuya inatoka nje, matokeo bado ni 1-0, Simba anaongoza

Dak 13, Mzamiru anaenda nje kwa muda kugangwa

Dak ya 12, Mzamiru Yassin anachezewa faulo, mpira unapigwa kuelekea Stand

Dak ya 11. Mzamiru Yassin anapasia na Mkude eneo la katikati

Dak ya 7, Gooooo, Asante kwasi anafunga bao la kwanza

Dak ya 3, Simba wanamiliki mpira kuelekea eneo la kati

(PICHA NA MUSA MATEJA | GLOBAL PUBLISHERS)

Comments are closed.