The House of Favourite Newspapers

LIVE: Taarifa ya Habari TBC 1- Hivi Ndivyo Wanafunzi 32 Walivyofariki Dunia

0

ARUSHA: Wanafunzi 29 na walimu wao 2 pamoja na dereva wa wamefariki dunia baada ya basi aina ya Coaster waliokuwa wakisafiria kuacha njia na kutumbukia mtaroni katika eneo la Mlima Rhotia wilayani Karatu Arusha wakati wakielekea kwenye ziara ya kimasomo.

Leave A Reply