Live Tanga: Makamu Wa Rais Anahutubia Wananchi Muda Huu..
MAKAMU wa Rais, Mama Samia Suluhu, ameendelea na ziara yake mkoani Tanga, Leo Machi 17 ikiwa ni siku ya tatu kati ya sita anazotarajiwa kufanya ziara mkoani humo.. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx