SIMBA YAIPIGA SINGIDA BAO 4- 0 UWANJA WA TAIFA
Dk 89, Kwasi anachonga kona fupi kwa Kichuya lakini mpra unaishia miguuni mwa mabeki wa Singida
Dk 88, Kichuya nusura afunge bao la tano baada ya Manyika na beki wake kujichanganya. Kona….
Dk 82, Batambuzi anajaribu kuingia katika eneo la hatari lakini Kotei anaondosha
SUB Dk 79 Anatoka Kutinyu na nafasi yake inachukuliwa na Kagoma upande wa Singida
GOOOOOOOOO Dk 75, pasi nzuri ya Kichuya, Okwi anaingia na kuachia mkwaju wa chinichini na kuandika bao la tatu kwa Simba
DK 74, Shiza Kichuya peke yake akiwa amebaki na goli, baada ya pasi nzuri ya Okwi anatoa mpira njeeeee
GOOOOOOOOO Dk 75, pasi nzuri ya Kichuya, Okwi anaingia na kuachia mkwaju wa chinichini na kuandika bao la tatu kwa Simba
DK 74, Shiza Kichuya peke yake akiwa amebaki na goli, baada ya pasi nzuri ya Okwi anatoa mpira njeeeee
Dk 71 Batambuzi anajaribu vizuri kabisa hapa kutoka mbali Manula anauona
Dk 69, Okwi anajaribu kuingia lakini Singida wako makini hapa
SUB Dk 65 Emmanuel Okwi anaingia kuchukua nafasi ya Muzamiru Yassin
Dk 64 Mundia akiwa katika nagasi nzuri anapaisha juuuuu
Dk 64, Manyika anatoka vizuri na kumuwahi Kichuya vizuri kabisa
Dk 51, Manula anafanya kazi ya ziada, anatoka na kuokoa vizuri dhidi ya Lubinda. Yuko chini akitibiwa
Dk 50, krosi ya Kutinyu, Kambale anachupa na kupiga kichwa safi kabisa, goal kick
Dk 48, pasi nzuri tena ya Ndemla, Kichuya anauwahi na kuachia mkwaju mkuuuubwaaa
Dk 45, mpira umeanza na Simba wamefika katika eneo Kichuya anachia mkwaju mdhaifu
MAPUMZIKO
DAKIKA 2 ZA NYONGEZA
GOOOOOO Dk 25, Ndemla anatoa pasi safi kwa Kwasi, anaweka kifuani na kuandika bao la pili kwa Smba
SUB Dk 22, Kazimoto anatoka nafasi yake anaingia Said NdemlaDk 20, Singida wanaendelea kusukuma mashambulizi lakini Simba wako makini
Dk 17, Gyan anaingia vizuri na kuachia mkwaju, unatoka sentimeta chache kwenye lango la Singida
Dk16 Singida wanagongeana vizuri na Kutinyu anaachia mkwaju mkali kabisa hapa, Asante Kwasi anaokoa
Dk 13, Simba inapata kona ya kwnaza baada ya kumtoka beki Singida aliyewahi na kuutoa. Inachongwa lakini haina kitu
Dk 12, Gyan yuko chini baada ya kupigwa teke na Makasi
wakati akijaribu kuuwahi mpira
Dk 12, Gyan yuko chini baada ya kupigwa teke na Makasi
wakati akijaribu kuuwahi mpiraDk 10, Bocco anautokea mpira vizuri mabeki Singida wakidhani ameotea
Dk 8 sasa, Simba wanaonekana kupadhibiti katikati ya uwanja zaidi na kuwapa wakati mgumu viungo wa Singida akiwemo Kutinyu
GOOOOOOOO Dk 3 Kichuya anaruka na kupiga tik tak mbele ya Rushenshagoga na kuandika bao la kwanza kwa Simba
Dk 3, Simba wanapata nje karibu na n alango la Singida
Dk 1, mechi imeanza kwa kasi na Singida wanakuwa wa kwanza kufika katika goli la Simba na mpira uliopigwa na Kambale unakuwa goal kick
Comments are closed.