The House of Favourite Newspapers

LUGOLA Alivyofurahia JPM Kumtimua Mkurugenzi! – VIDEO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amempongeza Rais Dkt John Magufuli kwa kumtimua Mkurugenzi aliyekamatwa na ubadhilifu wa fedha za serikali kwenye ziara yake mkoani Simiyu.

Comments are closed.