Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji nchini Tanzania Thobias Andengenye amewaapisha maofisa wawili wa jeshi hilo walioteuliwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli hivi karibuni kuziba nafasi zilizoachwa wazi kwa mudazaidi ya miaka
Akizungumza mara baada ya kuwaapisha amaofisa hao, ambao ni pamoja na Kamishna wa divisheni ya oparesheni Kamishna Billy Mwakatege, na Kamishna wa divisheni ya usalama wa moto kamishna Jesual Ikonko wa jeshi la zima moto, amesema wanalenga kuona huduma za uokoaji na zimamoto zikiboreshwa huku elimu ikitolewa kikamilifu kwa wananchi ya namna wanavyo weza kujikinga na majanga ya moto.
NA HILALY DAUDI | GLOBAL TV ONLINE
=====