Taswira ya mafuriko yaliyolikumba eneo la Bonde la Mkwajuni.
Taswira ya mafuriko yaliyolikumba eneo la Bonde la Mkwajuni.
Taswira ya mafuriko yaliyolikumba eneo la Bonda la Mkwajuni.
MAFURIKO makubwa yamelikumba Bonde la Mto Mkwajuni lililoko eneo la Kinondoni jijini Dar es Salaam kufuatia mvua kubwa iliyonyesha leo kuanzia asubuhi na kuendelea hadi majira ya saa sita mchana.
Kamera yetu ilifika katika bonde hilo ambalo zamani lililokuwa na watu lukuki wakiishi ndani yake kabla ya kuondolewa na serikali kwa madai ya kuwa eneo hilo ni hatarishi kwa maisha yao.
Na Denis Mtima/GPL
Comments are closed.