The House of Favourite Newspapers

Makamu Wa Rais Alivyowasili Nyumbani Kwa Marehemu Edward Lowassa – Picha

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiweka Saini katika kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa wakati alipofika katika Makazi ya Familia Masaki Jijini Dar es salaam tarehe 11 Februari 2024. Kulia ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amewafariji waombolezaji mbalimbali wakati alipofika nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu marehemu Edward Lowassa Masaki Jijini Dar es salaam tarehe 11 Februari 2024.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akimfariji mjane wa Waziri Mkuu Mstaafu marehemu Edward Lowassa ,Mama Regina Lowassa mara baada ya kuwasili nyumbani kwa familia hiyo Masaki Jijini Dar es salaam. Tarehe 11 Februari 2024.
Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango akimfariji mjane wa Waziri Mkuu Mstaafu marehemu Edward Lowassa , Mama Regina Lowassa mara baada ya kuwasili nyumbani kwa familia hiyo Masaki Jijini Dar es salaam. Tarehe 11 Februari 2024.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwafariji waombolezaji mbalimbali wakati alipofika nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu marehemu Edward Lowassa Masaki Jijini Dar es salaam tarehe 11 Februari 2024.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiagana na Mbunge wa Monduli Mhe. Fredy Lowassa ambaye ni Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu marehemu Edward Lowassa mara baada ya kusaini kitabu cha maombolezo na kuwafariji wafiwa katika makazi ya familia Masaki Jijini Dar es salaam. Tarehe 11 Februari 2024.
Leave A Reply