Makamu Wa Rais Samia Aendelea Na Ziara Ya Kichama Zanzibar
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 02,2020 amefanya ziara ya mkoa wa Magharibi Unguja Zanzibar.