Samia Azindua Nanenane Simiyu — (Picha +Video)
MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 1, ameshiriki katika maadhimisho ya sherehe za maonyesho ya wakulima, wafugaji na wavuvi, (Nanenane) ambayo kitaifa yanafanyika Kanda yaZziwa Mashariki katika viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu.