KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum Kanda ya Dar es Salaam, Mambosasa amesema jeshi hilo limefanikiwa kuunasa mtandao wa wezi wa mafuta ya transfoma za Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ambao wamekuwa wakiiba mafuta hayo kwa ajili ya kutengenezea oil fekin za injini, tofauti na tetesi zilizokuwa zikitolewa kuwa ni kwa ajili ya kupikia chips.
Comments are closed.