Man U Yawanyamazisha Chelsea, Stamford Bridge
TIMU ya Chelsea imenusulika kichapo kutoka kwa Manchester United baada ya Ross Barkley kuifungia Chelsea bao la kusawazisha dakika ya 96 na kupelekea timu yake kutoka na sare ya bao 2-2 katika Uwanja wa Stamford Bridge. Mabao yaMan Utd yamewekwa kimiani na Anthony Martial dakika ya 55 na 73 huku mabao ya Chelsea yakiwekwa kimiani na Rudiger dakika ya 21 na Ross Barkley dakika ya 96.
Chelsea (4-3-3): Arrizabalaga; Azpilicueta, Rudiger, Luiz, Alonso; Kante, Jorginho, Kovacic (Barkley 69); Willian (Pedro 75), Morata (Giroud 79), Hazard.
Subs not used: Caballero, Fabregas, Zappacosta, Cahill.
Scorer: Rudiger (21), Barkley (96)
Booked: Rudiger, Hazard
Manager: Maurizio Sarri
Manchester United (4-2-3-1): de Gea; Young, Lindelof, Smalling, Shaw; Pogba, Matic; Rashford (Sanchez 85), Mata (Herrera 75), Martial (Pereira 84); Lukaku
Subs not used: Romero, Bailly, Fred, Darmian.
Scorer: Martial (55, 73)
Booked: Matic, Young, Mata, Sanchez
Manager: Jose Mourinho
Comments are closed.