MAPIGO YA LULU, MOBETO NA JOKATE USIKU WA TUZO
TUZO za Sinema Zetu International Film Festival, (SZIFF 2019) zimefanyika Jumamosi iliyopita, Februari 23, katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam ambapo mwanamitindo Hamisa Mobeto ambaye pia mzazi mwenzake na mwanamuziki Diamond Plantinum, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, walikuwa kivutio walivyotokelezea usiku huo.
PICHA NA RICHARD BUKOS | GPL
Comments are closed.