The House of Favourite Newspapers

Mashemeji Siyo Watu wa Kuwaamini Hata Kidogo, Kilichonitokea Sitasahau

0

Jina langu ni Furaha kutokea Pwani, Tanzania, mimi na mpenzi wangu, tulidumu kwa zaidi ya miaka mitano ila hatukuwa na desturi ya kuonana mara mara kutokana na shughuli za kazi.

Mara nyingi tulikutania kwake na kupata muda wetu hapo, wakati mwingine nililala hapo, sasa siku moja baada ya mizunguko yangu niliamua niende kwake nikapumzike maana nilikuwa najua sehemu anayoweka funguo.

Kwa kuwa nilikuwa nimepazoea nilipitiliza hadi chumbani na kulala, nilikuja kushtuka nikiamshwa na mdada, sura ilikuwa ngeni kwangu. Hakuna aliyemuongelesha mwenzake tulibaki tunashangaana tu, kila mmoja akijiuliza mwenzake ni nani.

Ghafla akaingia shemeji yangu mmoja ambaye ninafahamiana naye, alishtuka sana kuniona pale, maana sikutoa taarifa kama nitaenda, kumbe pale ni kwake na sio kwa mpenzi wangu, yeye ndie aliyekua amepanga pale.

Ndipo akaanza kujitetea kwa mpenzi wake ikambidi aseme ukweli wote ili kuokoa mahusiano yake, kwamba huwa anamuazima ghetto mshkaji wake akiwa anataka kuwa na mimi. Nilifedheheka sana, nashukuru yule Dada alikuwa mstaarabu hakunifanyia fujo.

Baadae nilikuja kugundua kumbe yule mpenzi wangu alikuwa ameoa na ana mtoto, iliniuma sana na niliachana nae, ila nilikuja kujifunza kuwa mashemeji sio watu wa kuwaamini kabisa.

Ebu fikiria upo kwenye mahusiano na mtu kwa miaka zaidi ya mitano na unategemea siku moja aje kukuoa halafu anakuja kukufanyia kitu kama hicho, niliumia sana, siwezi kusahau maumivu yake maana umri wangu ulikuwa ushakwenda sana.

Nakumbuka hadi nyumbani kwetu kila mara mama alikuwa ananiuliza ni lini nitaolewa nimletee mjukuu, sikuwa na jibu la maana kuwapa zaidi ya kusema muda sio mrefu.

Mama alisema; tazama wasichana wenzako wote wa jika lako mliozaliwa pamoja wameolewa umebaki wewe pekee, fanya jambo mwanangu.

Ila nashukuru baada ya kutumia dawa ya Kiwanga Doctors ndipo nilipoondoa aibu yangu ya miaka mingi, alikuja kijana mmoja mtanashati na kusema yupo tayari kuja nyumbani kwetu kujitambulisha na kunioa.

Kweli nilimleta nyumbani akawaona wazazi wangu, na mimi akanipeleka kwao kisha tukaanza mipango ya kufunga ndoa ambayo naweza kusema ilikuwa furaha sana siku ya harusi yetu na tuna watoto wawili katika ndoa yetu.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Mwisho.

 

Leave A Reply