MSANII wa muziki nchini, Agnes Gerald ‘Masogange’ amekwepa kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kulipa faini ya Sh. milioni 1.5 kama ilivyoamriwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Masogange alihukumiwa kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini hiyo baada ya kukutwa kwa kosa la kutumia madawa ya kulevya aina ya heroin na Oxazepam.
TAZAMA VIDEO YA TUKIO HILO
Comments are closed.