The House of Favourite Newspapers

Mbowe, Besigya Wakaribishwa Ikulu Ghana

mbowe  Rais wa Ghana Akufo- Addo, Kiongozi mwenye umri wa miaka 72, na ambaye ni wakili wa zamani wa kutetea haki za binadamu,  mara tu baada ya kuapishwa katiaka viwanaja vya Accra nchi humo Janauari 7 2017. Ameanza kuyatekeleza majukumu yake kwa nchi zingine za Afrika ikiwemo kukuza demokrasia ya kweli kwa kuupa ngvu mfumo wa vyama vingi. rais-ghanaKatika sherehe za kuapishwa Rais huyo mpya alisema ni lazima kurejesha uadilifu serikalini, na kwamba fedha za umma hazipaswi kutumika visivyo na chama kinachoshinda uchaguzi bali kukuza rasrimali za nchi na maendeleo kiuchumi. Na kwa watu waliomchagua, rais Akufo Addo alikuwa na Ujumbe huu.

kifefe

Kizza Besigye Kifefe.ghanaaRais Nana Akufo-Addo . mbowe-1Freeman Mbowe.

Aidha Rais Nana Akufo-Addo aliyemshinda John Mahama katika uchaguzi wa rais mwezi jana, leo amewakaribisha viongozi wa vyama vya upinzani, mwenyekiti wa chama cha Demokraia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe kutoka Tanzania na Kizza Besigye Kifefe mwnasiasa mashughuli kutoka Uganda, Ikulu nchini humo leo kwa mazungumzo ya kisiasa.

Salum Milongo/GPL

Comments are closed.