The House of Favourite Newspapers

Mbunge WA CUF Ajivua Uanachama

Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Amina Mwidau Mkoa wa Tanga (CUF), amejivua uanachama wa chama hicho kwa madai ya kutoridhishwa na mwenendo wa kisiasa wa chama hicho na kujiridhisha na utendaji wa serikali ya awamu ya Tano chini na Rais John Magufuli.

Aidha, Mwidau hajabainisha iwapo atajiunga na chama chochote cha siasa.

Comments are closed.