Video: Mbunge Waitara Amwaga Machozi Kisa Mgogoro wa Ardhi, Awahofia Chadema
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara amezungumza na waandishi wa habari Mkoani Dodoma ambapo ameshindwa kujizuia na kumwaga machozi kufuatia mgogoro wa ardhi jimboni kwake.