DODOMA: Rapper Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amewasili mjini Dodoma na kufanikiwa kufanya mazungumzo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe kwa ajili ya kupewa maelekezo ya Rais Dkt. John Magufuli kuhusu wimbo mpya wa rapa huyo ‘Wapo’ ambao mwanzoni ulidhaniwa kuwa una maneno ya kuikashfu serikali.
TAZAMA VIDEO YA NAY AKIWASILI OFISINI KWA WAZIRI MWAKYEMBE
Comments are closed.