Mhariri Kampuni ya Hali Halisi Atembelea Global
Mkina na Saleh Ally wakibadilishana mazungumzo.
Mhariri wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers, Simon Mkina, leo ametembelea ofisi za Kampuni ya Global Group na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kampuni hiyo na pia kusema kwamba alifurahi kukutana na baadhi ya waandishi na wahariri aliowahi kufanya nao kazi sehemu mbalimbali.
Na Denis Mtima/Gpl.
Comments are closed.