MISS KINONDONI ALIVYOKABIDHIWA ZAWADI YA GARI (PICHA + VIDEO)
MISS KINONDONI 2019, Queen Mugesi Aynory (19) amekabidhiwa gari yake aina ya Mini Cooper (nyekundu) baada ya kuibuka mshindi usiku wa kuamkia leo Julai 14, 2019 katika ukumbi wa Life Park.
Mshindi wa pili alikuwa Prisca Kisunda, watatu Leila Adim wa nne Queen Anthony na wa tano ni Flaviana Steven.
Comments are closed.