Mjumbe wa Waziri Mkuu wa Uingereza Atembelea SBL
MJUMBE wa biashara kutoka ofisi ya Waziri Mkuu wa Uingereza nchini Tanzania Lord Walney ametembelea kiwanda cha Serengeti Breweries Ltd’s (SBL), kampuni tanzu ya Diageo yenye makao yake Uingereza ambapo alijionea kiwanda kipya cha kutengeneza pombe kali pamoja na uzalishaji bia.