MONALISA ALIVYOAMUA KUWAINUA WANAWAKE KATIKA FILAMU
Msanii mkongwe wa filamu za Kibongo Yvone Cherry ‘Monalisa’ jana alizindua mpango wa kuwainua wasichana wwenye ndoto za uigizaji wa filamu huitwao Monalisa ACT ambapo katika mpango huo waliuchujwa wasichana 500 na kupatikana 50 ambao wataendelea katika mpango wa kuendelezwa.
Uzinduzi huo uliofanyika Makumbusho ya Taifa, Posta jijini Dar, ulihudhuri wa na Naibu wa Wizara ya Sanaa Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza aliyeambatana na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa ((Basata) Geofrey Mungereza.
PICHA: RICHARD BUKOS | GPL
Comments are closed.