The House of Favourite Newspapers

MR. BLUE NA SNURA WAFUNIKA MBAYAAA TAMASHA LA PESA NI M-PESA MWEMBE YANGA

0
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Snura Mushi (Chura) akiwapagawisha mashabiki wake wakati wa Tamasha la Pesa ni M-Pesa lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC na kufanyika katika viwanja vya Mwembe yanga Tandika jijini Dar es Salaam,Likiwa na lengo la kutoa elimu kwa wananchi kutumia huduma ya M-pesa badala ya kubeba fedha taslimu kuhatayarisha maisha yako.
 Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Snura Mushi (Chura) akiwapagawisha mashabiki wake wakati wa Tamasha la Pesa ni M-Pesa lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC na kufanyika katika viwanja vya Mwembe yanga Tandika jijini Dar es Salaam,Likiwa na lengo la kutoa elimu kwa wananchi kutumia huduma ya M-pesa badala ya kubeba fedha taslimu kuhatayarisha maisha yako.
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Snura Mushi (Chura) akiwapagawisha mashabiki wake wakati wa Tamasha la Pesa ni M-Pesa lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC na kufanyika katika viwanja vya Mwembe yanga Tandika jijini Dar es Salaam,Likiwa na lengo la kutoa elimu kwa wananchi kutumia huduma ya M-pesa badala ya kubeba fedha taslimu kuhatayarisha maisha yako.
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Snura Mushi (Chura) akiwapagawisha mashabiki wake wakati wa Tamasha la Pesa ni M-Pesa lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC na kufanyika katika viwanja vya Mwembe yanga Tandika jijini Dar es Salaam,Likiwa na lengo la kutoa elimu kwa wananchi kutumia huduma ya M-pesa badala ya kubeba fedha taslimu kuhatayarisha maisha yako.
Mwanamuziki mahiri wa Bongo Fleva nchini Mr. Blue akikonga nyoyo za wapenzi wake kwa wimbo wa mboga saba wakati wa Tamasha la Pesa ni M-Pesa lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC na kufanyika katika viwanja vya Mwembe yanga Tandika jijini Dar es Salaam,Likiwa na lengo la kutoa elimu kwa wananchi kutumia huduma ya M-pesa badala ya kubeba fedha taslimu kuhatayarisha maisha yako.
Mwanamuziki mahiri wa Bongo Fleva nchini Mr. Blue akikonga nyoyo za wapenzi wake kwa wimbo wa mboga saba wakati wa Tamasha la Pesa ni M-Pesa lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC na kufanyika katika viwanja vya Mwembe yanga Tandika jijini Dar es Salaam,Likiwa na lengo la kutoa elimu kwa wananchi kutumia huduma ya M-pesa badala ya kubeba fedha taslimu kuhatayarisha maisha yako.
Mwanamuziki mahiri wa Bongo Fleva nchini Mr. Blue akikonga nyoyo za wapenzi wake kwa wimbo wa mboga saba wakati wa Tamasha la Pesa ni M-Pesa lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC na kufanyika katika viwanja vya Mwembe yanga Tandika jijini Dar es Salaam,Likiwa na lengo la kutoa elimu kwa wananchi kutumia huduma ya M-pesa badala ya kubeba fedha taslimu kuhatayarisha maisha yako.
Baadhi ya wakazi wa Tandika na vitongoji vyake waliofurika katika viwanja vya Mwembe yanga jijini Dar es Salaam, wakati wa Tamasha la Pesa ni M-Pesa lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC jana,Likiwa na lengo la kutoa elimu kwa wananchi kutumia huduma ya M-pesa badala ya kubeba fedha taslimu kuhatayarisha maisha yako.
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania Plc wakiwa katika picha ya pamoja na wanamuziki Mr.Blue na Sinura wakati wa Tamasha la Pesa ni M-Pesa lililoandaliwa na Vodacom Tanzania PLC na kufanyika katika viwanja vya Mwembe yanga Tandika jijini Dar es Salaam,Likiwa na lengo la kutoa elimu kwa wananchi kutumia huduma ya M-pesa badala ya kubeba fedha taslimu kuhatayarisha maisha yako.
Tamasha hilo likiendelea.

Leave A Reply