The House of Favourite Newspapers

Mrisho Ngasa afiwa na baba yake

Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Khalfan Ngassa amepata pigo la kuondokewa na baba yake mdogo ambaye amefariki leo Jumamosi huku chanzo cha kifo hicho kikiwa hakijaelezwa.

 

Kupitia akaunti yake ya instagram, Ngasa ameandika ujumbe unaosema “Pumzika kwa amani baba yangu mcheshi wangu mtani wangu leo hii umetutoka baba R.I.P”

 

 

Wakati Ngassa akipata pigo hilo, jana mlimda mlango wa timu hiyo Klaus Kindoki naye Baba yake Mzee Kindoki Nkinzi alifariki na leo anaanza kuitumikia timu yake hiyo, atakwenda msibani baada ya mchezo wa leo dhidi ya Stand United.

 

JIUNGE NA FAMILIA YA GLOBAL TV UPANDE MTANDAO WA MAFANIKIO

Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club ==> Global TV Family Club

Comments are closed.