MSANII STAMINA AFUNGA NDOA MOROGORO LEO (Video)
MSANII wa Hip-Hop, Stamina, leo amefunga ndoa na mpenzi wake, Veronica Peter, katika Kanisa Katoliki, Morogoro mjini ambapo ndoa yake ilisimamiwa na msanii Roma na mkewe. Harusi hiyo imehudhuriwa na mastaa mbalimbali katika fani mbalimbali ambao walitegemewa baadaye kufanya sherehe mjini humo.
PICHA NA SHEKIDELE/MOROGORO
Comments are closed.