MSEMAJI MKUU WA SERIKALI ATINGA MAONYESHO YA SADC
MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Dkt.Hassan Abbasi, Agosti 7, 2019 ametembelea Maonyesho ya Wiki ya Viwanda kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) yanayoendelea katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Viwanja wa Karimjee na Gymkana jijini Dar es Salaam.
Comments are closed.